Katika hali ya kushtua kuna taarifa kuwa filamu ya msanii kina kwa 
ufuska kwenye kiwanda cha bongo movie Manaiki Sanga "The Don" ameweka 
rekodi mpya nchini kufuatia filamu yake kufikisha kopi nyingi ambazo 
huenda kiasi hicho hakijawahi kufikiwa na msanii yeyote.
Habari za uhakika toka kwa mtu wa karibu na kampuni ya Steps ambae 
aligoma kutaja jina lake kwa madi kuwa yeye si msemaji wa kampuni hiyo 
alisema " Kwa kweli hii ni kali unajua hadi sasa hapa ofisini 
tunapokea maelfu ya filamu wakihitaji kupata nakala ya filamu ya msanii 
huyo" Alisema kijana huyo wa kihindi
Aidha kijana huyo aliongeza kusema kuwa kitu kikubwa kinachofanya watu 
kuisubiri kwa hamu filamu ni kutaka kuona msanii huyo aliyejizolea 
umaarufu nchini na dunia nzima kutokana na picha za utupu za mabint 
zaidi ya 400 ambao baadae hao mabint wote kuwafanyisha filamu hiyo 
inayoitwa Ngema huku pia mastaa mbalimbali wakishirikishwa.
Kijana huyo alimaliza kusema kampuni ya Steps imeichukua filamu hiyo na 
tayari wako kwenye makubaliano ya mwisho na Manaiki na huenda ikapewa 
nafasi ya kuachiwa haraka mtaani kutokana na wananchi wengi nchini 
Tanzania na Kenya, Kongo na Uganda kutaka filamu hiyo kuwafikia ili 
kuona nini kilichopo ndani yake. 
 

 
No comments:
Post a Comment