Kigogo  mmoja ambaye jina lake 
halikupatikana mara moja, anayefanya kazi   katika kampuni ya simu za 
mkononi  na mwanamke aliyetajwa kwa jina la  Mwamvua anayedaiwa kuwa ni 
mke wa mtu wamerekodi video wakifanya uchafu  na ‘clip’ hiyo imevuja.
 
Habari  za kuaminika kutoka kwa chanzo 
chetu makini zinasema kwamba mke wa  kigogo huyo aitwaye Zainab ndiye 
anayesambaza video hiyo kwenye mitandao  mbambali na mitaani.
 
Inaelezwa
 kwamba, Zainab alianza kupatwa na wasiwasi na tabia ya mumewe  muda 
mrefu, hivyo akaanza kumfuatilia kwa karibu, ambapo alifanikiwa  kunasa 
meseji za mapenzi kati ya mumewe na Mwamvua.

 Zainab alivumilia bila kumwambia mumewe, lakini aliendelea kumfuatilia ili apate uhakika.
“Aliamua kuchukua namba za simu za yule mwanamke kisha akampigia na kumuonya amuachie mumewe, lakini akamjibu mbovu,” alitutonya mnyetishaji wetu
“Aliamua kuchukua namba za simu za yule mwanamke kisha akampigia na kumuonya amuachie mumewe, lakini akamjibu mbovu,” alitutonya mnyetishaji wetu
Akaongeza: “Lakini
 siku moja aliona picha ya  huyo mwanamke akiwa kitandani kwenye simu ya
 mumewe. Alipoendelea  kupekua zaidi, akaona video ikiwaonesha wapo 
kwenye mahaba. Akaihamishia  kwenye simu yake haraka kwa njia ya 
Bluetooth.”
“Zainab alishachoshwa na mambo ya mume wake. Analalamika kuwa tangu amepandishwa cheo, hatulii nyumbani. Amekuwa malaya kupindukia. Uamuzi wake ulikuwa ni kuondoka kwa mumewe, lakini akaona ni bora kwanza amkomeshe,” alisema paparazi wetu.
“Zainab alishachoshwa na mambo ya mume wake. Analalamika kuwa tangu amepandishwa cheo, hatulii nyumbani. Amekuwa malaya kupindukia. Uamuzi wake ulikuwa ni kuondoka kwa mumewe, lakini akaona ni bora kwanza amkomeshe,” alisema paparazi wetu.

Alisema,
 kwa kuwatumia ‘watoto wa mjini’, Zainab alifanikiwa kuisambaza  video 
hiyo kwenye mitandao mbalimbali kwa lengo la kumuaibisha mume wake  na 
mwanamke aliyekuwa naye faragha ambaye naye anadaiwa kuwa mke wa  mtu.
“Aliona bora wakose wote, ndiyo maana akafanya hivyo,”alisema.
-mitandao
“Aliona bora wakose wote, ndiyo maana akafanya hivyo,”alisema.
-mitandao
 

 
No comments:
Post a Comment