Picha
aliyoipost mtandaoni Staa wa filamu za Kibongo,Irene Uwoya ikimuonyesha
mtoto wake Krish Ndikumana akiwa ameshika glasi ya pombe imemfanya
msanii huyo ashambuliwe baada ya mashabiki wake kutoa maoni kwamba
hapaswi kufanya hivyo kama mzazi na kioo cha jamii kwani anamfundisha
tabia mbaya mtoto wake huyo.
Irene
amepost picha hiyo akiwa Jijini Arusha katika hoteli ya Mount Meru na
msanii mwenzake Blandina Chagula‘Johari’wakila bata na marafiki zao wa
huko
No comments:
Post a Comment