NCHI za wenzetu staa kupiga picha za 
utupu si kitu kigeni lakini Tanzania sheria na maadili ya Mtanzania 
hayaruhusu kufanya hivyo.
Pamoja  na sheria  kutoruhusu, 
wasanii  wetu  hasa  wa  kike  wamekuwa  wakihaha  usiku  na  mchana  
kuusaka  umaarufu  wa  kujulikana  kwa  jamii  kwa  njia  za  
panya,.... 
Wengi  wao  wamepoteza  sifa  za  uwajibikaji  na  badala  yake  wamejikita  katika  Skendo  chafu  ili  jamii  iwajue...
Hali  hii  imewafanya  wasanii  wengi  wa  kike  wawe  na  umaarufu  wa  skendo  chafu....
Miongoni  mwa  skendo  hizo  ni:
1.Kupiga  picha  za  uchiHili  ni  
kundi  la  wasanii  chipukizi  wanaosaka  umaarufu  kwa  gharama  
yoyote....Ni  skendo  ambayo  huwachafua  sana, lakini  pia  ni  skendo 
 ambayo  huwainua  na  kuwafanya  wajulikane.... 
Mfano  halisi  wa  wasanii  wa  kundi  hili  ni  Rayuu,Agness  Masogange, Lulu  Michael,Pendo  wa  Maisha plus
Pendo  Moshi
2.Kutumia  madawa  ya  kulevyaHili  
ni  kundi  la  wasanii  ambao  hutumia  madawa ya  kulevya   na  kisha  
hukimbilia  katika  vyombo  vya  habari  na  kujitangaza  kwamba  ni  
wavuta  bangi  na  kwamba  "hivi  sasa  wameacha"
3.Kuvaa  nusu  uchiHili  ni  kundi  
lenye  wasanii  wengi  sana.Hawa  ni  wasanii  wenye  imani    ya  kuwa 
 mastaa  kwa  kuvaa  nusu  uchi  huku  mapaja  na  matiti  yao  yakiwa  
wazi ...
Wahanga  wa  kundi  hili  ni  wasanii  wa  kike  ambao  sote  tunawajua.
4.Kutovaa  chupi  na  kujipitisha  
mbele  ya  kamera Hili  ni  kundi  la  wasanii  wachache  ambao  
umaarufu  wao  umekwisha.Ili  kujiinua  tena  kwa  jamii, wasanii  hawa 
 hutumia  skendo  nzito  kama  hizi  ambazo    huifanya  jamii  
istuke..!...Mfano  halisi  ni  Nakaaya.
 


 
No comments:
Post a Comment