Wajumbe wapya wa Bodi ya Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA), wametaka kupewa miezi sita ili wasanii waanze kufaidi matunda yao
Alex Msama
Akizungumza na gazeti la Mwananchi juzi, Alex Msama kwa niaba ya wajumbe wenzake wa bodi hiyo iliyozinduliwa hivi karibuni, alisema BASATA ina changamoto nyingi ikiwemo kukosa vyanzo vya kutosha vya mapato hivyo changamoto waliyonayo ni kuhakikisha inajiendesha yenyewe.
Alex Msama
Akizungumza na gazeti la Mwananchi juzi, Alex Msama kwa niaba ya wajumbe wenzake wa bodi hiyo iliyozinduliwa hivi karibuni, alisema BASATA ina changamoto nyingi ikiwemo kukosa vyanzo vya kutosha vya mapato hivyo changamoto waliyonayo ni kuhakikisha inajiendesha yenyewe.
“Tutaboresha
 kazi za wasanii kwa kuziinua na kuzilinda kwa nguvu zote, tutasimamia 
studio zitoe kazi bora za wasanii sio bora kazi, tunataka ifike mwisho 
wasanii kwenda kurekodi Afrika Kusini, China na kwingineko na kazi zetu 
zivuke mipaka,” alisema.
“Ndani ya miezi sita, matunda yetu yataanza kuonekana, kikubwa tunaomba ushirikiano kwa wasanii na wadau wote wa Sanaa,” alisema Msama.
“Ndani ya miezi sita, matunda yetu yataanza kuonekana, kikubwa tunaomba ushirikiano kwa wasanii na wadau wote wa Sanaa,” alisema Msama.
 

 
No comments:
Post a Comment