 Wale
 wakuitwa mapacha wawili P-SQUARE usiku huu wameshatinga ndani ya jiji 
la Dar es Salaam kwa kishindo kikaliiiiiiiiii hahahaaa #hadiRAHA sasa 
hiyo kesho Jumamosi pale viwanja vya
Wale
 wakuitwa mapacha wawili P-SQUARE usiku huu wameshatinga ndani ya jiji 
la Dar es Salaam kwa kishindo kikaliiiiiiiiii hahahaaa #hadiRAHA sasa 
hiyo kesho Jumamosi pale viwanja vya 
Leaders Club ndio patachimbika. 
Wasanii kutoka bongo watakaosindikiza show hii ni pamoja na Prof Jay, 
Lady Jay Dee, Joh Makini na Ben Pol.
source-Djchoka 
 
No comments:
Post a Comment