DIAMONDA AMBULIA TENA MATUSI BAADA YA KUPOST PICHA HII ALIPOTAKA KUWAUMBUA WALIOMPONDA ALIVYO VAA KWENYE HARUSI YA PETER 
Kuna uwezekano watu walikuwa wameshaanza kuganga yajayo na kusahau 
kuhusu kile alichovaa Naseeb Abdul aka Diamond Platnumz kwenye harusi ya
 kimila ya Peter Okoye wa P-Square huko Lagos, Nigeria Jumapili 
iliyopita.
 Wiz Khalifa (kushoto), Diamond na Dwayne Wade (kulia)
Lakini leo Platnumz ameamsha upya mashambulizi mengine ambayo safari 
hii yanatokea kwa wabongo, baada ya kupost picha yake akiwa na vazi 
ambalo limekuwa gumzo kuanzia kwa wanaijeria waliomponda kwa kusema 
amechemka. Lakini picha ya leo imechanganywa na picha mbili za mastaa wa
 Marekani, kushoto Wiz Khalifa na kulia mchezaji wa Basketball wa timu 
ya Miami Heat Dwyane Wade, na sio kwamba ameweka picha zao tu bali picha
 zao wakiwa na mavazi ya suruali fupi ‘njiwa’ kama aliyovaa yeye.
Huenda alitarajia kuwa ‘prove wrong’ wote waliomsulubu kwa kumwambia 
amechemka, kwa kuwaonesha kuwa hata mastaa wakubwa huvaa hivyo, lakini 
hiki ndicho alichoambulia kutoka kwa followers wake wa Instagram:
[ @ ] kagebby: Hahahahahahahahaha……….daimond am sorryyy dear..bt 
smtyms u have to accept that u a wrong….what ever u do to justfy the 
situation makes it worse…..tunakubali talent yako bt….sorry dear 
UMECHEMKA MBAYAA….SO FANYA KAMA UNASAHAU HIVI HYO SURUALI YAKO KAMA YA 
JOKER AU CLOWN…..THEN TO MOVE FORWARD AU SIO..MKALI.
[ @ ] mwatumu37: Diamond yani bora ungekaa kimya sasa hapo ndio 
umetibua kabisa! yani Huyu @realsarahcrystal amekudanganya hatujasema 
sio fashion kwanza kabisa sio kila stely enaendana na mwili wa mtu pili 
inatengemea ni wapi wewe ulienda culture wedding ungepaswa uvae 
kitamaduni zaidi nadhani uliona wanainger walivyo vaa acheni kumtia 
diamond kichwa nguo aliyovaa haiendani na shuguli soma comment kwa 
iyanya wanainger wamesemaje.tukubali kukosolewa
[ @ ] wildromann: Wiz n wade wote waliekwa fashion police tht hawajapendeza so usijipe moyo that u look like them NO
[ @ ] university_tz:  now i can see how blind yu are @diamondplatnumz
 ! how stupid yu are bwana mdogo!…toa izo goggles zako feki aungalie the
 difference btn yu and’em….tunajua hiyo outfit ina exist ktk real 
world…bt not the way yu did…hao majamaa wamepiga suti za bei hatar 
hatar, yaan iyo style imeendana na uzur na bei ya suti zao! nw look at 
urself! angalia iyo shati ya tetroni uliyovaa! surual last time 
nimemuona nayo wema sepetu iyo! cheki na izo ngwasuma zako za manzese! 
shame on yu! swallow ur pride bitch and accept apo umebumaaa star wa 
tandaleee!! 
[ @ ] zushali: @diamondplatnumz fashion police. U need a stylist for 
real to dress u according to the occasion sio kutuvalia Michael jackson 
style wakati una masculine body 
[ @ ] sazaf: @diamondplatnumz naona ndugu yangu unakoenda kubaya 
inapnesha hujui tofauti alichovaa #wizkhalifa na alichovaa #waynewade 
kijana ni tofauti na huo mcharuko uliovaa wewe hebu angalia tofauti 
kijana usiwe msanii wa kucopy style za watu ww ni msaani wa tz wakilisha
 tz dah wao wamevaa suit bora na ww hio dnt touch ungevaa na suit kijana
 jiangalie sana ok
[ @ ] mwatumu37: Sikiliza mkasi @iamsheriangowi alivyosema omba 
ushauri kwake wa mavazi namkubali sana huyu jamaa wewe ni msani mkubwa 
uwe unakubali kukosolewa sisi Hatukuchukii wanao kumchukia ndio hao 
wanakupaka mafuta kwa mgongo wa chupa
[ @ ] kipereto unajuwa @diamondplatnumz tatizo sio nguo hiyo fashion 
yako ungesubiri siku nyingine sio harusi ya mtu ndio uvae hiyo then sio 
watanzania peke yao hata uko naija wamekusema vile vile angalia blog za 
naija.sisi wabongo tuna tabia hata kama myu amekosea hatuwezi kumwambia 
ukweli sijuwi kwanini mwambieni mtu ukweli ili abadilike na sio kumpa 
sifa za kijinga juzi kavaa hivyoo je akipata bahati ya kwenda obama si 
atavaa chupi.nakwanini mtu akisema ukweli mnasema chuki ,wivu sijui 
fitina halafu kumbe unasemanga comment za watu ok basi sawaaaaaa 
[ @ ] 55_star: Nimeipenda fashion yako@diamondplatnumz lkn msema 
kweli ni mpnz wa mungu kwakweli hujapendezaa kabisaaa c lzm kila kitu 
tuige jipange tena bro next time vaa kinachoendana na mwili wako.ila big
 up kwa kazi zako.
[ @ ] evaristnyororo: Bora umewaonyesha wabongo maana nchi mzima ilipinga ulivovaa kwenye wedding,halllaaa wasaf 
[ @ ] jaka_reynolds: Ile it was traditional wedding,so alitakiwa kuvaa accordingly,sio kuvaa iyo skin tyt ya wema.
[ @ ] 1989naa: @teddykaegele i dnt knw more abt fashion ila mmmmmh 
,,,not hate …4 me , big No,,,hata fashion inaenda na sehemu husika,,yes 
ts fashion ila cna uhakika na uvaaji huu…katika tukio km hilo pia co 
kila fashion inampendeza mtu..nyingine ukiona hazikutoi sexy una 
acha,,sina uhakika kama D alipendeza,cmchukii jus maoni yng tu
[ @ ] bongosuper: I dont care abt that fashion ni hukupendeza afu haikuendana na diamond 
[ @ ] classychristianline :Hapana@diamondplatnums style hiyo ungevaa koti nawe ndo hapo sawa!
[ @ ] michanolive: Unekuwa kama katuni wa masudi kipanya @bongosuper 
wenzie wapo katika culture wedding et yy kaenda kavaa old school 
hahahahah mbutaaaaa @diamondplatnumz 
[ @ ] anniepeter : Xo lazima kuvaa kama wao kwani kazaliwa kwao? 
angevaa kama wao mngexema pia. 2badilike jaman hating null lol! 
[ @ ] najjimnadir: Hile ilikua traditional wedding, anatakiwa ajue nyakati na matukio sio fashion 
[ @ ] cierarockss: Sasa ungevaa Na suit afu hiyo siyo sehemu yake. 
Kama kwenye ile msiba ndo vazi kidogo LA harusi. Ila sio mbaya uzuri 
unajiamini kwahiyo ilionekana sawa
[ @ ] melbamesha: Ok Hun I am not going to criticise you because your
 trying but one thing I know you need to fire️ your stylist and hire a 
new one ASAP @diamondplatnumz … And the rest of you break a leg.. He is 
human
[ @ ] saidkitamo: cyo kila fashion itampendeza mtu kiukwel kwa hapa 
ulichemka vibaya pia ulishindwa kutofautisha nyakat myb kwenye birthday 
waweza kwenda na hko kivazi lakin kwenye wedding apana hlo ndo tatizo 
kubwa lilokuangusha kijana next tym kuwa makin coz nilitembelea ata kwA 
iyanya alipost pic hyo most of zem wamekudiss ww de way ulivyo vaa
 
Wiz Khalifa (kushoto), Diamond na Dwayne Wade (kulia)
Lakini leo Platnumz ameamsha upya mashambulizi mengine ambayo safari 
hii yanatokea kwa wabongo, baada ya kupost picha yake akiwa na vazi 
ambalo limekuwa gumzo kuanzia kwa wanaijeria waliomponda kwa kusema 
amechemka. Lakini picha ya leo imechanganywa na picha mbili za mastaa wa
 Marekani, kushoto Wiz Khalifa na kulia mchezaji wa Basketball wa timu 
ya Miami Heat Dwyane Wade, na sio kwamba ameweka picha zao tu bali picha
 zao wakiwa na mavazi ya suruali fupi ‘njiwa’ kama aliyovaa yeye.
Huenda alitarajia kuwa ‘prove wrong’ wote waliomsulubu kwa kumwambia 
amechemka, kwa kuwaonesha kuwa hata mastaa wakubwa huvaa hivyo, lakini 
hiki ndicho alichoambulia kutoka kwa followers wake wa Instagram:
[ @ ] kagebby: Hahahahahahahahaha……….daimond am sorryyy dear..bt 
smtyms u have to accept that u a wrong….what ever u do to justfy the 
situation makes it worse…..tunakubali talent yako bt….sorry dear 
UMECHEMKA MBAYAA….SO FANYA KAMA UNASAHAU HIVI HYO SURUALI YAKO KAMA YA 
JOKER AU CLOWN…..THEN TO MOVE FORWARD AU SIO..MKALI.
[ @ ] mwatumu37: Diamond yani bora ungekaa kimya sasa hapo ndio 
umetibua kabisa! yani Huyu @realsarahcrystal amekudanganya hatujasema 
sio fashion kwanza kabisa sio kila stely enaendana na mwili wa mtu pili 
inatengemea ni wapi wewe ulienda culture wedding ungepaswa uvae 
kitamaduni zaidi nadhani uliona wanainger walivyo vaa acheni kumtia 
diamond kichwa nguo aliyovaa haiendani na shuguli soma comment kwa 
iyanya wanainger wamesemaje.tukubali kukosolewa
[ @ ] wildromann: Wiz n wade wote waliekwa fashion police tht hawajapendeza so usijipe moyo that u look like them NO
[ @ ] university_tz:  now i can see how blind yu are @diamondplatnumz
 ! how stupid yu are bwana mdogo!…toa izo goggles zako feki aungalie the
 difference btn yu and’em….tunajua hiyo outfit ina exist ktk real 
world…bt not the way yu did…hao majamaa wamepiga suti za bei hatar 
hatar, yaan iyo style imeendana na uzur na bei ya suti zao! nw look at 
urself! angalia iyo shati ya tetroni uliyovaa! surual last time 
nimemuona nayo wema sepetu iyo! cheki na izo ngwasuma zako za manzese! 
shame on yu! swallow ur pride bitch and accept apo umebumaaa star wa 
tandaleee!! 
[ @ ] zushali: @diamondplatnumz fashion police. U need a stylist for 
real to dress u according to the occasion sio kutuvalia Michael jackson 
style wakati una masculine body 
[ @ ] sazaf: @diamondplatnumz naona ndugu yangu unakoenda kubaya 
inapnesha hujui tofauti alichovaa #wizkhalifa na alichovaa #waynewade 
kijana ni tofauti na huo mcharuko uliovaa wewe hebu angalia tofauti 
kijana usiwe msanii wa kucopy style za watu ww ni msaani wa tz wakilisha
 tz dah wao wamevaa suit bora na ww hio dnt touch ungevaa na suit kijana
 jiangalie sana ok
[ @ ] mwatumu37: Sikiliza mkasi @iamsheriangowi alivyosema omba 
ushauri kwake wa mavazi namkubali sana huyu jamaa wewe ni msani mkubwa 
uwe unakubali kukosolewa sisi Hatukuchukii wanao kumchukia ndio hao 
wanakupaka mafuta kwa mgongo wa chupa
[ @ ] kipereto unajuwa @diamondplatnumz tatizo sio nguo hiyo fashion 
yako ungesubiri siku nyingine sio harusi ya mtu ndio uvae hiyo then sio 
watanzania peke yao hata uko naija wamekusema vile vile angalia blog za 
naija.sisi wabongo tuna tabia hata kama myu amekosea hatuwezi kumwambia 
ukweli sijuwi kwanini mwambieni mtu ukweli ili abadilike na sio kumpa 
sifa za kijinga juzi kavaa hivyoo je akipata bahati ya kwenda obama si 
atavaa chupi.nakwanini mtu akisema ukweli mnasema chuki ,wivu sijui 
fitina halafu kumbe unasemanga comment za watu ok basi sawaaaaaa 
[ @ ] 55_star: Nimeipenda fashion yako@diamondplatnumz lkn msema 
kweli ni mpnz wa mungu kwakweli hujapendezaa kabisaaa c lzm kila kitu 
tuige jipange tena bro next time vaa kinachoendana na mwili wako.ila big
 up kwa kazi zako.
[ @ ] evaristnyororo: Bora umewaonyesha wabongo maana nchi mzima ilipinga ulivovaa kwenye wedding,halllaaa wasaf 
[ @ ] jaka_reynolds: Ile it was traditional wedding,so alitakiwa kuvaa accordingly,sio kuvaa iyo skin tyt ya wema.
[ @ ] 1989naa: @teddykaegele i dnt knw more abt fashion ila mmmmmh 
,,,not hate …4 me , big No,,,hata fashion inaenda na sehemu husika,,yes 
ts fashion ila cna uhakika na uvaaji huu…katika tukio km hilo pia co 
kila fashion inampendeza mtu..nyingine ukiona hazikutoi sexy una 
acha,,sina uhakika kama D alipendeza,cmchukii jus maoni yng tu
[ @ ] bongosuper: I dont care abt that fashion ni hukupendeza afu haikuendana na diamond 
[ @ ] classychristianline :Hapana@diamondplatnums style hiyo ungevaa koti nawe ndo hapo sawa!
[ @ ] michanolive: Unekuwa kama katuni wa masudi kipanya @bongosuper 
wenzie wapo katika culture wedding et yy kaenda kavaa old school 
hahahahah mbutaaaaa @diamondplatnumz 
[ @ ] anniepeter : Xo lazima kuvaa kama wao kwani kazaliwa kwao? 
angevaa kama wao mngexema pia. 2badilike jaman hating null lol! 
[ @ ] najjimnadir: Hile ilikua traditional wedding, anatakiwa ajue nyakati na matukio sio fashion 
[ @ ] cierarockss: Sasa ungevaa Na suit afu hiyo siyo sehemu yake. 
Kama kwenye ile msiba ndo vazi kidogo LA harusi. Ila sio mbaya uzuri 
unajiamini kwahiyo ilionekana sawa
[ @ ] melbamesha: Ok Hun I am not going to criticise you because your
 trying but one thing I know you need to fire️ your stylist and hire a 
new one ASAP @diamondplatnumz … And the rest of you break a leg.. He is 
human
[ @ ] saidkitamo: cyo kila fashion itampendeza mtu kiukwel kwa hapa 
ulichemka vibaya pia ulishindwa kutofautisha nyakat myb kwenye birthday 
waweza kwenda na hko kivazi lakin kwenye wedding apana hlo ndo tatizo 
kubwa lilokuangusha kijana next tym kuwa makin coz nilitembelea ata kwA 
iyanya alipost pic hyo most of zem wamekudiss ww de way ulivyo vaa 
source: Bongo5 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
          
      
 
  
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
No comments:
Post a Comment