Ho Zhiliang, 24, raia wa China 
amezaliwa huku moyo wake ukiwa unaota maeneo ya tumboni kama unavyo ona 
kwenye picha. Kijana huyu ana subiri upasuaji ili kuweza kurekebisha 
kiungo hicho na kukirudisha mahali kinapotakiwa kuwa.
Kweli Mungu ni wa ajabu sana maana 
inasemekana watoto wengi wanao zaliwa na tatizo hili hufa siku chache 
baada ya kuzaliwa lakini imekuwa tofauti kwa huyu kijana ambaye ni 
kinyozi na ameamua kuishi maisha yake na hali hiyo hadi pale alipo soma 
kwenye gazeti moja kwamba hali hiyo inaweza rekebishwa kwa opareshi 
ambayo ndo anasubiria.
Hii si kesi ya kwanza kutokea huko China.
-Jestina~George
 

 
No comments:
Post a Comment