NAJUA NILIKUKOSEA SANA ILA NAOMBA UMWACHE HUYO MWANAMKE..NITALEA MTOTO WAKE KAMA WA KWANGU
Hivi wanawake ni watu wa aina gani? 
naombeni ushauri jamani, nilikuwa na mpenzi akanisaliti akaenda kuolewa 
na lijibaba nikatafuta mwingine,nimezaa nae mtoto mmoja natunaishi kwa 
furaha.cha ajabu ameanza kunitumia mesege,mojawapo imeandikwa hivi 
nanukuu "Najua nilikukosea samahani sana ila 
naomba umuache huyo mwanamke, amin 
nitamlea mtoto wako 
kama wakwangu 
kumbuka unafahamika mbaka nyumbani familia yangu inanicheka kwa 
nilichokifanya".huyu mwanamke ninaeshi nae kaona hiyo massage kaniambia 
nimsamehee na yuko radhi kuondoka....Sasa nifanyaje nishaurini 
By Silvester Limota
 
 
 
          
      
 
  
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
No comments:
Post a Comment