adsence

Pages

Wednesday, November 20, 2013

NILIPOONA AKAEENDA KWA JAMAA MWINGINE KULIWA URODA NILIAMUA NIFANYE HIVI "BERRY WHITE"


Artist anayewakilisha Zenji ktk game ya bongo flava Berry white inasemekana amelichoma Moto gari la mpenzi wake na Gari Hilo likateketea kama unavyoona hapo, kwa mujibu wa cha chanzo chetu cha habari kinadai kuwa chanzo cha tukio Hilo nibaada ya Berry kushtukia dem wake ameenda kufanya mambo ya chumbanI na mwanaume mwingine, ndo huku Nyuma jamaa akaamua kupiga kiberiti Gari, bado tunaendelea kumtafuta berry white ili na yeye atoe ya moyoni....Hii ndo ndinga iliyopigwa Moto na Msanii Berry White, nia aina ya Spacio na mwanzo lilikua lina rangi Nyekundu



TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

No comments:

Post a Comment