HUU NDIO MJENGO WA MWANADADA SHILOLE
Wakati
 ambapo Shilole anaendelea kumuomba Mungu amalizie mjengo wake uliopo 
Kimara jijini Dar es Salaam, Fid Q anaonesha kuzungusha mkwanja alionao 
kwenye biashara ya madini.Shilole
 amepost Instagram picha ya nyumba yake iliyopo kwenye 
hatua ya mwisho 
kukamilika na kuandika: Mungu nisaidie nimalizie hii kitu ili watoto 
wangu wasije kupata tabu.” 
 
 
 
Naye Fid Q amepost picha inayoonesha madini ya ruby na kuandika: #RubySozite #NewHustle roll a phat 1 fi ya Nig..!!!
 
 
 
 
 
          
      
 
  
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
No comments:
Post a Comment