adsence

Pages

Tuesday, December 10, 2013

HUU NDIO MJENGO WA MWANADADA SHILOLE

Wakati ambapo Shilole anaendelea kumuomba Mungu amalizie mjengo wake uliopo Kimara jijini Dar es Salaam, Fid Q anaonesha kuzungusha mkwanja alionao kwenye biashara ya madini.Shilole amepost Instagram picha ya nyumba yake iliyopo kwenye
hatua ya mwisho kukamilika na kuandika: Mungu nisaidie nimalizie hii kitu ili watoto wangu wasije kupata tabu.”
 
Naye Fid Q amepost picha inayoonesha madini ya ruby na kuandika: #RubySozite #NewHustle roll a phat 1 fi ya Nig..!!!

No comments:

Post a Comment