adsence

Pages

Monday, December 9, 2013

WEMA SEPETU AMEWEKA PICHA HII YA DIAMOND NA KUANDIKA HIKIIIII



Mcheza filamu za kibongo Wema Sepetu ametuma picha ya mpenzi wake wa zaman mwanamuziki Diamond Platnamu kwenye akaunti.yake ya instagram na kuandiki
“ i jus happen to love dis picture“
baada ya kuweka picha hiyo mashabiki wameanza kumsifia uku wakimponda mpenzi Penny ambae anaaminika ndio mpenzi wa Diamond kwa sasa


Website hii imepitia akaunti ya Diamond na kukuta picha ile ile aliyoweka Wema ikiwa na maneno kuonesha kua usiku wa jana masanii huyu alikua kwenye sherehe ya kuzaliwa mrembo wa zamani wa Tanzania Jackline Ntuyabaliwe.


SHUKA CHINI KUTOA MAONI 


No comments:

Post a Comment