AANIKA MAKALIO YAKE MBELE YA MBUNGE AIBU 
Mmoja wa washabiki wa muziki wa kizazi
 kipya ambaye alivaa vazi lililoacha matako nje.... Shabiki huyo 
alipanda jukwaani kumkumbatia msanii maarufu nchini , Ommy Dimpoz wakati
 alipokuwa akitoa burudani katika mashindano ya Redds Miss Tabora. Tukio
 hilo la aibu lilitokea mbele ya wabunge.... Mbunge wa Jimbo la 
Sengerema Bw.William Ngereja akiwa na Diwani wa kata ya Kitete manispaa 
ya Tabora Bw.Daniel Mhina ambaye alikuwa MC katika onesho hilo 
lililofanyika katika ukumbi wa Frankman Hotel mjini Tabora. Ommy Dimpoz 
akitokwa na machozi wakati akitumbuiza jukwaani 
 
TOA MAONI YAKO HAPO CHINI
 
 
 
          
      
 
  
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
No comments:
Post a Comment