Hata
 hivyo akili yake ilichemka haraka na kuamua kusahau kuwa alitajwa 
kwenye orodha ya Forbes 2013 ya watu matajiri zaidi Afrika, kukodi piki 
piki aka boda boda.
“The
 traffic in Dar is crazy,I was so fed up sitting in the car, I had to 
rent a(Boda Boda) 2 make it 4 a meeting, I guess I need a chopper,” 
alitweet.
Huenda
 wazo la kununua chopper akalifikiria kwa nafasi kubwa zaidi ili 
kuepukana na foleni kali wakati mwingine na hivyo kushindwa kuhudhuria 
mikutano ya maana.
 
 
No comments:
Post a Comment