Baada ya kuwepo kwa rumors za hapa na pale kati ya diva wa 
Nollywood ‘Tonto Dinkeh’ kutoka kimapenzi na The Koko Master D’banj 
hatimaye ameamua kuzima midomo ya watu baada ya kuamua kutokelezea 
hadharani na mchumba wake mpya aliyefahamika kwa jina la Michaael 
Awolaja lakini watu wamezoea kumuita Malivelihood kutokana na mkwanja na
 utajiri mkubwa aliokuwa nao sambamba na magari ya kifahari pamoja na 
mansion(Majumba) ya gharama anayomiliki kijana huyo ivyo kumfanya Tonto 
ajione miongoni mwa wanawake wenye bahati kwa kuwa katika mikono ya 
bilionea huyo, mtazame mwenyewe jamaa huyo
 
 
No comments:
Post a Comment