muonekano wa saini ya director Nisher ikiwa na maneno haya. "I m Not Next Level, I M A New Game' huku tukijua kuwa brand name ya Adam Juma inayompa heshima kila siku kwa kazi bora ni Next Level. Fuatilia Hapa
Tunafahamu kuwa Nisher ameonekana kama Replacement ya Adam Juma au kimbilio la wasanii wanapotaka video bora kwa sasa hapa Tanzania baada ya Adam kusitisha kazi hii. Ila pia wasanii wamekuwa wakienda sana Kenya kufanya kazi na Ogopa kitu kinachopelekea mashabiki kuona bado nafasi ya Adam haijazibwa.
Baada ya hii post shabiki wa Nisher alitia neno hapo kuhusu ubora wa Nisher.
 




 
No comments:
Post a Comment