Ni jambo la kawaida kwa wasanii wa bongoflava hasa wakubwa kama steve
 RnB kutembea na kila demu mzuri hapa bongo.lakini kwa steve ni tofauti 
kabisa kwani amefanikiwa kumvisha pete ya uchumba high school sweetheart
 wake.

Rumour has it kwamba steve RnB na huyu mrembo wametoka mbali na wamekuwa wapenzi wa muda mrefu hadi wameshawahi kufukuzwa shule pamoja.tunamtakia Steve RnB safari njema ya kuelekea katika ndoa. CREDIT : VIBE.CO.TZ
Rumour has it kwamba steve RnB na huyu mrembo wametoka mbali na wamekuwa wapenzi wa muda mrefu hadi wameshawahi kufukuzwa shule pamoja.tunamtakia Steve RnB safari njema ya kuelekea katika ndoa. CREDIT : VIBE.CO.TZ
 
 
No comments:
Post a Comment