KAMPUNI YA WEMA SEPETU NDANI YA KSAHFA..!! NI BAADA YA DIRECTOR WAKE KUGEUZA GARI YA WEMA KAMA "GESTI HAUSI" NA KUFANYIA NGONO..!!
Blog ya Xdeejayz imenasa taarifa za sababu kubwa zilizopelekea Wema Sepetu kumtimulia
mbali aliyekuwa directa wake aliyefahamika kwa jina moja la Chid kuwa ni
ufuska uliokubuhi kwa directa wake huyo huku akitumia magari yake kama
guest ya kumalizia haja zake.Xdeejayz inakupa mchongo mzima
Habari
za uhakika zilizotua mezani kwa Xdeejayz zilisema kuwa Wema aliamua
kuchukua maamuzi hayo magumu ili kunusuru kashfa kubwa ambayo ingeza
kuikumba kampuni yake" Kwa kweli Wema Sepetu alikuwa anampenda sana Chid
kutokana na ubunifu wake kazini na alimpa uhuru wa kufanya kila kitu
ikiwemo kumuachia magari ambayo yeye alikuwa kama kiongozi hivyo alikuwa
na uhuru nayo sana na alikwenda kila mahara " Kilisema chanzo hicho
ambacho ni ndugu na Wema
Aidha
habari zaidi ziliendelea kusema baada ya kupata taarifa hzio aliamua
mkutimua Chid kwenye kampuni yake ili kurinda heshima ya kampuni hiyo
ambapo Chid na vijana walikuwa wakitumia gari hiyo kung'olea watoto
wakali" Unajuwa Wema ana mashabidi sana hata ile gari wakati mwingine
alikuwa inavunja hata sheria za barabarani bila kufanywa chochote hii
ilitokana na upendo wa mashabiki kwa Wema na wasichana wengi walikuwa
wakiiona ile gari basi wnaingia wenyewe kwenye gari wakidhani ndani yuko
Wema hivyo ilikuwa ni nafasi nzuri kwa Chid na wenzake kuwamaliza
wasichana hao" Alisema dada huyo
Aidha
baada ya taarifa hizo XDEEJAYZ ilivuta waya kwa kumcheki hewani Chid na
Wema ili kuthibitisha madai hayo ama kuna jingine lililopelekea
kutimuana kwa bahati mbaya watu hao hawakupatikana kuzungumzia hilo hadi
habari hii inaruka hewani!
No comments:
Post a Comment