Binti ajulikanaye kama Doreen Kabareebe amtia aibu kubwa baba yake 
ambaye alikuwa Mbunge huko Uganda apiga picha za nusu uchi na kutupiwa 
kwenye majarida huko kampala Uganda. Picha hizi zimezua mijadala mikubwa
 na maswali mengi kwa wakazi na wananchi wa kampala wanao mjua 
muheshimiwa huyo.
 
No comments:
Post a Comment