Kikizungumza  chanzo chetu kilicho makini, kilisema
 kinawashangaa sana Wastara na mwenzi wake huyo kuukana upenzi wao kila 
kukicha wakati picha zinajieleza.
“Wastara amekuwa akimkana Bond kuwa si mpenzi wake ila ni kaka yake 
sasa hebu tazama picha zao mpya, hata mtoto mdogo humdanganyi kitu,” 
kilisema chanzo hicho huku wawili hao wakiendelea kukanusha kuwa na 
uhusiano wa kimapenzi
 
 
No comments:
Post a Comment