TAZAMA Picha ya jinsi kivuko cha Dar – Bagamoyo kitakavyokua.... 
Nakumbuka
 Waziri wa ujenzi John Magufuli aliwahi kusema moja kati ya mbinu kubwa 
za kurahisisha miundombinu na kupunguza foleni kwenye jiji linaloongoza 
kwa kuwa na magari mengi Tanzania (Dar es salaam) ni kuanzisha kivuko 
ambacho kitakua na safar kati ya Dar na Bagamoyo.
Ni miongoni mwa mipango ambayo itatekelezwa ili kupunguza foleni 
lakini pia kurahisisha usafiri pamoja na kupunguza idadi ya ajali za 
barabarani ambazo zimekua zikitokea kutokana na uzembe wa Wamiliki na 
Madereva wa mabasi ya abiria. 
-MILLARD AYO 
 
 
 
 
          
      
 
  
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
No comments:
Post a Comment