Wanachama na wafuasi wa Chadema 
wakiandamana katika mitaa mbalimbali ya kigoma ili kupinga ziara ya 
Katibu Mkuu wa Chadema Dk. Slaa mkoani humo pamoja na kupinga maamuzi 
yanayofanywa na Kamati kuu ya Chadema. Maandamano hayo yanaendelea hivi 
sasa
 
 SHUKA CHINI KUTOA MAONI  
 
No comments:
Post a Comment